Mwanamuziki kutoka Tip Top, Dogo Janja amesema anampango wa kurudi shule. Amesema hayo leo katika kipindi cha Clouds360 kupitia Clouds Tv.
Rapa Dogo Janja amesema kwamba linapokuja swala la Masomo , yeye sio kilaza. Ana uelewa wa hali ya juu na hivyo anaamini atarudi Shule.
Dogo Janja ameyasema hayo muda mfupi uliopita katika kipindi cha Clouds360.
Post A Comment:
0 comments so far,add yours