Video: Jason Derulo Ft Nicki Minaj & Ty Dolla $ign – Swalla
Official VIDEO | Diamond Platnumz Ft. Rayvanny Salome ( Traditional ) | Watch
New Audio | Abihudi M - Ya jana (Gospel Version)
Picha | Warembo kwenye video mpya ya Alikiba ni hatari
Hot News | Ngoma za Marekani zilizofanana mashairi na ngoma za Bongo zilizotangulia
[Verse 1 – Alikiba]
Ucheshi na sauti
Amenifanya nam-miss tu
Mwambie asiogope
Ali ni kipenzi cha watu
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na wenzake
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zake eh
Amenifanya nam-miss tu
Mwambie asiogope
Ali ni kipenzi cha watu
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na wenzake
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zake eh
[Chorus – Alikiba]
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
[Verse 2 – Alikiba]
Uzuri wake timilifu
Nshamuona na watu maarufu tu
Kina Wema Sepetu
Nikaomba namba bichwa akanishushua shuu!
Ilinikosesha raha
Lulu nae kandanganya
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
Ilinikosesha raha
Lulu nae kandanganya oh
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
Uzuri wake timilifu
Nshamuona na watu maarufu tu
Kina Wema Sepetu
Nikaomba namba bichwa akanishushua shuu!
Ilinikosesha raha
Lulu nae kandanganya
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
Ilinikosesha raha
Lulu nae kandanganya oh
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
[Chorus – Alikiba]
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
[Verse 3 – M.I]
I say, I say, I say…
I’m gonna marry you one day
Come through baby girl
I just want us to speak
See we met on a Monday
You must be next Monday
Cause you make it one week
Have you been to the West side?
Forget whatever you seen on them Nollywood films
I wanna be your best guy
So let’s try till you testify no one’s better than him
So baby, give me your digits
Let me google map location, come and visit
You should show up in something exquisite
I can come over to yours, girl, where is it?
You could teach me to speak in Swahili
Like “sawa sawa, mambo vipi?”
Can you tell that I’m feeling you really?
Alikiba and M.I, my baby, I know that you feel me
I say, I say, I say…
I’m gonna marry you one day
Come through baby girl
I just want us to speak
See we met on a Monday
You must be next Monday
Cause you make it one week
Have you been to the West side?
Forget whatever you seen on them Nollywood films
I wanna be your best guy
So let’s try till you testify no one’s better than him
So baby, give me your digits
Let me google map location, come and visit
You should show up in something exquisite
I can come over to yours, girl, where is it?
You could teach me to speak in Swahili
Like “sawa sawa, mambo vipi?”
Can you tell that I’m feeling you really?
Alikiba and M.I, my baby, I know that you feel me
[Chorus – Alikiba]
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
Basi mwambie aje (aje)
Oh aje (aje)
Aje na rafiki zake (aje)
Asije peke yake (aje)
Oh aje (aje)
Aje, oh aje (aje)
Aje jamani aje (aje)
Aje nam-miss aje (aje)
[Outro]
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Post A Comment:
0 comments so far,add yours