Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema
 hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea
 kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye
maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja
 kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye
 ataendelea kuwepo kwenye maisha yangu,”
alisema. “Tayari tupo na mtoto na ndio ni kitu
ambacho kitatuunganisha. Kwahiyo yeye ni part ya maisha yangu. Ndio maana
 nikamchora sio kuna siku moja nitamsahau.


Mimi nimechora kwa ridhaa yangu na yeye kachora kwa
ridhaa yake na yote tumefanya kwa sababu ya
maumivu tuliyopitia kwenye maisha yangu,”
aliongeza Mabeste.
Share To:

Red Chapter

Post A Comment:

0 comments so far,add yours