Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema
hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea
kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye
maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja
kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye
ataendelea kuwepo kwenye maisha yangu,”
alisema. “Tayari tupo na mtoto na ndio ni kitu
ambacho kitatuunganisha. Kwahiyo yeye ni part ya maisha yangu. Ndio maana
nikamchora sio kuna siku moja nitamsahau.
hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea
kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye
maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja
kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye
ataendelea kuwepo kwenye maisha yangu,”
alisema. “Tayari tupo na mtoto na ndio ni kitu
ambacho kitatuunganisha. Kwahiyo yeye ni part ya maisha yangu. Ndio maana
nikamchora sio kuna siku moja nitamsahau.
Mimi nimechora kwa ridhaa yangu na yeye kachora kwa
ridhaa yake na yote tumefanya kwa sababu ya
maumivu tuliyopitia kwenye maisha yangu,”
aliongeza Mabeste.
ridhaa yake na yote tumefanya kwa sababu ya
maumivu tuliyopitia kwenye maisha yangu,”
aliongeza Mabeste.
Post A Comment:
0 comments so far,add yours