Baada ya uongozi wa Million Dollar Boys (MDB)
uliokuwa ukimsimamia Young Dee kusitisha
kufanya kazi na rapper huyo, CEO wa kampuni hiyo
na studio za Authentic, Millian ametoa ofa ya video
kwa kundi la Mtu Chee ambalo Young Dee pia
amejitoa.
uliokuwa ukimsimamia Young Dee kusitisha
kufanya kazi na rapper huyo, CEO wa kampuni hiyo
na studio za Authentic, Millian ametoa ofa ya video
kwa kundi la Mtu Chee ambalo Young Dee pia
amejitoa.
Kundi la Mtu Chee lililoanzishwa na rappers
Stamina, Country Boy na Young Dee, leo wameachia
single mpya bila Young Dee huku wakiwa
wamemwongeza Young Killer kwenye single hiyo. Young Dee alikaririwa hivi karibuni akidai kuwa
uongozi wake (MDB) ulimzuia kuendelea kuwa
member wa kundi hilo. Millian amethibitisha kutohusika katika maamuzi ya
Young Dee kujiondoa Mtu Chee, kwa kujitolea
kuwapa ofa ya video ya wimbo mmoja kundi hilo. Kupitia post ya Instagram ya Country Boy, Millian
alicomment kwa kuandika;
Stamina, Country Boy na Young Dee, leo wameachia
single mpya bila Young Dee huku wakiwa
wamemwongeza Young Killer kwenye single hiyo. Young Dee alikaririwa hivi karibuni akidai kuwa
uongozi wake (MDB) ulimzuia kuendelea kuwa
member wa kundi hilo. Millian amethibitisha kutohusika katika maamuzi ya
Young Dee kujiondoa Mtu Chee, kwa kujitolea
kuwapa ofa ya video ya wimbo mmoja kundi hilo. Kupitia post ya Instagram ya Country Boy, Millian
alicomment kwa kuandika;
“Natoa offa ya kuwafanyia music video yenu moja bure wanangu. Dee farasi sana alivyosema Eti management yake imemzuia kufanya Kazi Na nyie
@countryboytz
@youngkillermsodoki
@stamina shorwebwenzi”
Country boy alijibu; “thanx bro tunapokea na tunajua umuhimu wako kaka mkubwa Asante tupo tayari”
Post A Comment:
0 comments so far,add yours