Mshindi wa tuzo za Afrimma 2015, Vanessa Mdee
amesema ni fahari kufananishwa kwa video ya
wimbo wake ‘Never Ever’ na video ya ‘Dance Like
We’re Making Love’ ya Ciara.
amesema ni fahari kufananishwa kwa video ya
wimbo wake ‘Never Ever’ na video ya ‘Dance Like
We’re Making Love’ ya Ciara.
Vanessa ameiambia Friday Night Live ya EATV
kuwa msanii binafsi kama yeye kufananishwa na
kazi ya Ciara aliye chini record labels kubwa
duniani ni kitu kikubwa. “I think it’s great kusema ukweli, the thing about
this, Ciara ni msanii ambaye amefanya muziki kwa
muda mrefu sana. Two ana support ya major labels,
mimi ni independent artist, najipanga peke yangu,
so as an independent artist somebody ana
compare kazi yangu na msanii wa kimataifa, it’s fine,” alisema Vanessa.
kuwa msanii binafsi kama yeye kufananishwa na
kazi ya Ciara aliye chini record labels kubwa
duniani ni kitu kikubwa. “I think it’s great kusema ukweli, the thing about
this, Ciara ni msanii ambaye amefanya muziki kwa
muda mrefu sana. Two ana support ya major labels,
mimi ni independent artist, najipanga peke yangu,
so as an independent artist somebody ana
compare kazi yangu na msanii wa kimataifa, it’s fine,” alisema Vanessa.
“Hamna idea ambayo utashoot ambayo mtu
hajafanya, watu wameshafika kila sehemu, watu
wameshashoot ndani ya maji, wakipaa angani sasa
utafanya nini? Unajua by the way nimesikia nyingi,
Ciara, Nicki Minaj,” aliongeza.
hajafanya, watu wameshafika kila sehemu, watu
wameshashoot ndani ya maji, wakipaa angani sasa
utafanya nini? Unajua by the way nimesikia nyingi,
Ciara, Nicki Minaj,” aliongeza.
Post A Comment:
0 comments so far,add yours